Logo Kushoto Logo Kati Logo Kulia

Zaidi ya Chama

NEDC sio tu chama cha biashara. Ni daraja kati ya wenye nacho na wasio nacho

Eneo la kuaminika ambapo wajasiriamali wanaweza kupata fedha, ujuzi, na uongozi wa kitaalamu.

Mshirika anayeaminika ambapo wafadhili na serikali wanaweza kuwekeza kwa kujiamini, wakijua kwamba fedha zitasimamiwa kwa uwazi na kwa matokeo yenye tija.

Kitovu cha ubunifu ambapo teknolojia inakutana na biashara, na mawazo yanageuka kuwa biashara endelevu.

Matukio

Malengo Yetu

0

Wanachama

0

MSMEs Zilizokuwa Rasmi

0

Fedha Zilizopatikana (Bilioni TZS)

0

Wajasiriamali Waliopewa Mafunzo

Habari Mpya

Community Project

UZINDUZI WA BONGO FURSA SHOW unakuja hivi karibuni

Jiandae kwa jukwaa kubwa zaidi la ubunifu Tanzania! BONGO FURSA SHOW litakuwa jukwaa la kitaifa ambalo wabunifu na wajasiriamali watawasilisha mawazo yao kwa wawekezaji, makampuni na viongozi wa serikali.

Partnership Expansion

UZINDUZI RASMI WA NEDC

Tunajivunia kuzindua rasmi chama kipya cha vijana kwa uwepo wa Mhe. Ridhiwani Kikwete, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Utumishi wa Umma na Utawala Bora Tanzania.

Wadau Wetu

Partner 1

Serikali na Taasisi za Umma

Partner 2

Sekta Binafsi na Makampuni

Partner 3

Wadau wa Maendeleo & Wafadhili

Partner 4

Taasisi za Elimu & Utafiti

Partner 5

Vyombo vya Habari & Mawasiliano

Partner 1

Serikali na Taasisi za Umma

Partner 2

Sekta Binafsi na Makampuni

Partner 3

Wadau wa Maendeleo & Wafadhili

Partner 4

Taasisi za Elimu & Utafiti

Partner 5

Vyombo vya Habari & Mawasiliano